Cinderella

6 views

Lyrics

Jamaniii mi nataka saule kama
 mapenzi gorofa yamejaa Kariakoo
 Mi nna mapenzi tele kama kwetu kule
 Wanao nitaka ni wengi ila kwako
 nyang'a nyang'a nyang'a
 Nini unataka mi nina miujiza nini
 unataka
 Ama ni maji ya bluelight sema nini
 unataka
 Nikugeuze Princess sema nini unataka
 Unavyo biringa bayondo hivyo mi ndo
 nataka taka sana natakaa
 Nini unataka mi nina miujiza nini
 unataka
 Nikugeuze Princess sema nini unataka
 Siamini yaani siamini yamenipanda
 kichwani mahaba ya kuota sinitimi
 yamenikoleza mwilini
 Siamini ooh siamini yamenipanda
 kichwani mahaba ya kuota sinitimi
 yamenikoleza mwilini
 Aya chekecha
 Chekecha Aya chekesha cheketua cheke
 chekecha cheketua cheke chekesha
 cheketua cheke chekesha cheketua
 cheke
 Masia Uluso kitaa Abu Daddy
 Penzi alinipa mama nami leo nakupatia
 tena sitaki lawama penzi kiapo hakuna
 Mi ntakupenda sana mpaka wivu
 utakimbia nami ntalia na wewe mimi
 kwako nyang'a nyang'a nyang'a
 Nini unataka mi nina miujiza nini
 unataka
 Ama ni maji ya bluelight sema nini
 unataka
 Nikugeuze Princess sema nini unataka
 Unavyo biringa bayondo hivyo mi ndo
 nataka taka sana natakaa
 Nini unataka mi nina miujiza nini
 unataka
 Nikugeuze Princess sema nini unataka
 Siamini yaani siamini yamenipanda
 kichwani mahaba ya kuota sinitimi
 yamenikoleza mwilini
 Siamini ooh siamini yamenipanda
 kichwani mahaba ya kuota sinitimi
 yamenikoleza mwilini
 Aya chekecha
 Chekecha Aya chekesha cheketua cheke
 chekecha cheketua cheke chekesha
 cheketua cheke chekesha cheketua
 cheke
 Yeah uuh cheke chekecha aah heyiiii

Audio Features

Song Details

Duration
04:14
Key
7
Tempo
178 BPM

Share

More Songs by Alikiba

Albums by Alikiba

Similar Songs