Tabibu

3 views

Lyrics

ni tabibu wa karibu, tabibu wa ajabu, na neema za daima ni dawa yake njema,
 hatufai kuwa hai, wala hatutumai
 ila yeye kweli ndiye atupumzishae
 imbeni malaika sifa za Yesu bwana, pekee limetukuka, jina lake Yesu.
 dhambi pia na hatia ametuchukulia
 twenendeni na amani, hata kwake mbinguni.
 uliona damu jina la Yesu kristo bwana, yu na sifa kwenye kufa asiishidwe na kufa.
 imbeni malaika, sifa za Yesu bwana, pekee limetukuka jina lake Yesu
 kila mume asimame, sifa zake zivume, wanawake na wasiiche kusifu jina lake.
 imbeni...
 

Audio Features

Song Details

Duration
05:13
Key
9
Tempo
120 BPM

Share

More Songs by Angela Chibalonza

Similar Songs