Mungu Hawezi Kukusahau

1 views

Lyrics

Ooh
 Mbali na kwamba Danieli
 Alikuwa katikati ya simba wenye njaa kali
 Ooh
 Mbali na kwamba Danieli
 Alikuwa katikati ya simba wenye njaa kali
 Ooh
 Mbali na kwamba Shedraki na Abedinego
 Walitupwa kwenye tanuru la moto
 Watu wakajiuliza sana, tulitupa watatu
 Wanne ametoka wapi?
 Askari wakajiuliza, tulitupa watatu
 Wanne ametoka wapi?
 Kumbe katikati ya taabu Mungu yupo
 Katikati ya mateso Mungu yupo
 Katikati ya taabu zako Mungu yuko
 Katikati ya vita kubwa Mungu yupo
 Hawezi kukusahau, Hawezi kukukimbia
 Oh Mungu wetu hawezi kukusahau
 Mungu hawezi (Oh Mungu Mungu) hawezi
 (Oh Mungu Mungu) Mungu hawezi kukusahau
 (Hawezi kuwacha ujifie mwenyewe)
 Mungu hawezi (Mungu hawezi) hawezi
 (Mungu hawezi) Mungu hawezi kukusahau
 (Hawezi kuwacha ujifie mwenyewe)
 Usife Moyo ndugu wewe
 Mungu hawezi (Oh Mungu Mungu) hawezi
 (Oh Mungu Mungu) Mungu hawezi kukusahau
 (Hawezi kuwacha ujifie mwenyewe)
 Usikate tamaa Mungu hawezi
 Mungu hawezi, hawezi
 Mungu hawezi kukusahau
 Usijione uko pekee yako, aah
 Kwa nini umepanga kujiua wewe?
 Kwa nini umepanga kuikana imani yako?
 Kwa nini umepanga kwenda kwa waganga wa kienyeji?
 Unaona maisha yamefika mwisho
 Kwa nini umepanga kujiua wewe?
 Kwa nini umepanga kuikana imani yako?
 Kwa nini umepanga kwenda kwa waganga wa kienyeji?
 Umehangaika sana ndugu yangu
 Ooh unaona kama dunia zima umeachwa pekee yako
 Unaona kama dunia zima umeachwa pekee yako
 Ninalo neno nataka kusema na wewe
 Ninalo neno nataka kuzungumza nawe
 Hata upitie shida ndugu yangu
 Hata upitie magumu ndugu yangu
 Mungu yuko na wewe katikati ya majaribu
 Mungu yuko na wewe katikati ya magumu
 Mungu yuko na wewe usikate tamaa
 Mungu yuko na wewe usipange kurudi nyuma
 Mungu wee hawezi kukusahau
 Mungu wee hawezi kukukimbia
 Mungu wee hawezi kukuacha wee
 Haweezi haweezi, hawezi Mungu
 Mungu hawezi (oh Mungu Mungu) hawezi
 (Oh Mungu Mungu) Mungu hawezi kukusahau
 (Hawezi kuwacha ujifie mwenyewe)
 Mungu hawezi (Mungu hawezi) hawezi
 (Mungu hawezi) Mungu hawezi kukusahau
 (Hawezi kuwacha ujifie mwenyewe)
 Usife Moyo ndugu wewe
 Mungu hawezi (Oh Mungu Mungu) hawezi
 (Oh Mungu Mungu) Mungu hawezi kukusahau
 (Hawezi kuwacha ujifie mwenyewe)
 Usikate tamaa, usirudi nyuma
 Mungu hawezi, hawezi
 Mungu hawezi kukusahau,usijione upo peke yako
 Ninataka nikutie moyo mama yangu wewe
 Ninataka nikutie moyo baba yangu wewe
 Ninataka nikutie moyo ndugu yangu wewe
 Mungu hawezi, hawezi kukusahau
 Ninataka nikutie moyo mama yangu wewe
 Ninataka nikutie moyo baba yangu wewe
 Ninataka nikutie moyo ndugu yangu wewe
 Mungu hawezi, hawezi kukusahau
 Wanadamu wanaweza kukusahau
 Lakini sio Mungu, lakini sio Mungu
 Wanadamu wanaweza wakakukimbia
 Lakini sio Mungu, lakini sio Mungu
 Wanadamu wanaweza wakakutenga
 Lakini sio Mungu, lakini sio Mungu
 Wanadamu wanaweza wakakutaa
 Lakini sio Mungu, lakini sio Mungu
 Haweezi Mungu wangu
 Haweezi Mungu wangu, aiyoo
 Mungu hawezi (Oh Mungu Mungu) hawezi
 (Oh Mungu Mungu) Mungu hawezi kukusahau
 (Hawezi kuwacha ujifie mwenyewe)
 Mungu hawezi (Mungu hawezi) hawezi
 (Mungu hawezi) Mungu hawezi kukusahau
 (Hawezi kuwacha ujifie mwenyewe)
 Usife Moyo ndugu wewe
 Mungu hawezi (Oh Mungu Mungu) hawezi
 (Oh Mungu Mungu) Mungu hawezi kukusahau
 (Hawezi kuwacha ujifie mwenyewe)
 Usikate tamaa, usirudi nyuma
 Mungu hawezi, hawezi
 Usinung'unike
 Mungu hawezi kukusahau

Audio Features

Song Details

Duration
07:25
Key
9
Tempo
104 BPM

Share

More Songs by Christopher Mwahangila

Similar Songs