Kama Utanipenda

6 views

Lyrics

Mrembo njoo tujenge malengo
 Nikikutazama naona nyufa kwenye mjengo
 Unaonekana kama mji wenye Upendo
 Unafanana na mtu alochoshwa na mwendo
 Si nikupe namba yangu unipigie weekend? (weekend, weekend baby)
 Moyo unasema mchukue huyu mtoto yuko stendi
 Vile anavyohema sio kama mtu hapendi
 Anauelewa mziki anahofia kuucheza
 Anasema na lugha chafu, ameshakuwa Kifimbo Cheza!
 Sema nini na Marlaw nabembeleza
 Kwa sera za Suma Lee nakula chungwa mpaka chenza
 Ehee, shida kujiuguza
 Mama you hot na uko ndani unaniunguza
 Staki kujua, hata nikijua ntapuuza
 Ukitaka kula bata uache kumchunguza
 Aah! Kama utanipenda
 Sitojali shida ulizobeba
 Na kama unataka kucheza
 Katafute refa wa kukubeba
 Na kama utanipenda
 Sitojali shida ulizobeba
 Na kama unataka kucheza
 Katafute refa wa kukubeba
 You know I like you
 Mi nakupenda and I give you what you want eh
 (Eeh whatchu want?)
 Nipe uchizi nidate
 Hata nkilala kwenye usingizi nifate
 (The way you talk mama)
 You know I like you
 Mi nakupenda and I give you what you want eh, baby
 (Eeh whatchu want?)
 Nipe uchizi nidate
 Hata nkilala kwenye usingizi nifate
 Hakuna single wala movie, mama kwangu you're my star
 Mi shabiki yako nasimama hata ukikaa
 Nahangaisha paa, breki ziko Dar
 Jitazame kwenye kioo how beautiful you are
 Mapenzi ukichaa, mapenzi uchizi
 Uwe nacho ukikataa, mwingine inamnyima usingizi
 Mwingine atakesha, mwingine atatesa
 Mwingine atataka akutumie kama pesa
 Yanajuana madini yakikutana
 Mwanamke ntanyima tuzo na ndo kitu nachofanya
 We utasema mi kichaa
 Kumbe mwenzako nafata what I feel inside
 Aah! Kama utanipenda
 Sitojali shida ulizobeba
 Na kama unataka kucheza
 Katafute refa wa kukubeba
 Na kama utanipenda
 Sitojali shida ulizobeba
 Na kama unataka kucheza
 Katafute refa wa kukubeba
 You know I like you
 Mi nakupenda and I give you what you want eh
 (Eeh whatchu want?)
 Nipe uchizi nidate
 Hata nkilala kwenye usingizi nifate
 (The way you talk mama)
 You know I like you
 Mi nakupenda and I give you what you want eh, baby
 (Eeh whatchu want?)
 Nipe uchizi nidate
 Hata nkilala kwenye usingizi nifate
 (Unataka nini mama?)
 Usiniumizi moyo (waweza kupaa)
 Mi niko loyal (uendeshe motor car)
 Punguza uchoyo (nguo za kuvaa)
 You're my everything for me (Na ukiwa out, oh whatchu want?)
 (Waweza kupaa) baby
 (Uendeshe motor car)
 (Nguo za kuvaa)
 (Na ukiwa out, oh whatchu want?)
 You're my everything for me
 You're my only one
 

Audio Features

Song Details

Duration
03:53
Tempo
101 BPM

Share

More Songs by Darassa

Albums by Darassa

Similar Songs