Manukato

3 views

Lyrics

Umeweka wimbo
 Kinywani mwangu
 Bwana niiiimbe
 Sifa zaaako
 Umeniumba
 Ilinikuabudu
 Nakwabudu
 Nakwabudu
 Wewe uketie juu
 Ya vyote
 Sifa hizi
 Zifike kitini mwako
 Wimbo huu ukawe
 manukato
 Wewe uketie juu ya vyote
 Sifa hizi Zifike kitini mwako
 Wimbo huu ukawe
 Manukato
 Wewe ni niko ambae
 Ni niko
 Milele ilopita
 Na Milele ijayo
 Sioni cha kunishibisha
 Moyo wangu
 Badala ya kumwabudu
 Mtakatifuuu
 Wewe uketie juu
 ya Vyote Sifa hizi Zifike
 Kitini mwako
 Wimbo huu ukawe
 Manukato
 Weweiyeiye
 Wewe uketie juu ya vyote
 Sifa hizi Zifike kitini mwako
 Wimbo huu ukawe
 Manukato
 Wwwwiye
 Wewe uketie juu ya vyote
 Sifa hizi Zifike
 Kitini mwako
 Wimbo huu ukawe
 Manukato
 Pekee yako wastahili
 Wastahili wastahili
 Haleluya hoo
 Wimbo huu ukawe manukato
 Manukato manukato
 Kama sadaka ya habeli
 Manukato
 Kama zaburi ya daudi
 Manukato
 Kama sadaka ya habeli
 Manukato
 Kama zaburi ya daudi
 Manukato
 Manukato
 Manukato
 Manukato
 Manukato
 Manukato
 Manukato
 Manukato
 Haleluya
 Haleluya
 manukato
 Haha
 Nakupenda bwana
 Wimbo ukawe
 Manukato
 Haleluya
 By Clinton
 Gosbert
 End
 

Audio Features

Song Details

Duration
06:10
Key
5
Tempo
98 BPM

Share

More Songs by Fanuel Sedekia

Similar Songs