Nimbes

1 views

Lyrics

Siku moja mama nitakujengea, Nyumba ya kifahari uishi poa mama, na pesa za mziki
 Siku moja baba nitakununulia, gari la kifahari uendeshepoa baba, na pesa za mziki
 Siku moja dada nitakulipia, karo ya shule, uende university, na pesa za mziki
 Siku moja brother nitakufungulia biashara kubwa, uwe sonko brother, na pesa za mziki
 Ikiwa ntakua rubani, niendeshe ndege, niwe rubani, rubani anaimba
 na Ikiwa ntakua karani, karani wa benki, niwe karani, karani anaimba
 Ikiwa ntakua waziri, waziri wa serikali, niwe waziri, waziri anaimba
 Oh popote niendapo, chochote nifanyacho, yeyote nitakuwa, niwe naimba.
 Mama na baba naomba mniache niimbe
 Niache niimbe X3
 Shule nitaenda lakini mniache niimbe
 Niache niimbe X3
 kazi nitafanya lakini mniache niimbe
 Niache niimbe X3
 Mimi naahidi ntaimba nyimbo za injili
 Niache niimbe X3
 Mungu ni mwaminifu X4
 Hakuna anayeweza hajapewa kitu cha kufanya,
 Wengine wanauza nguo gikosh
 Wenginewanashona ah,
 Wengine wamekonda wanakimbia, mabouncer wameshona.
 Wengine maodijo, polisi, ma CEO, ma M.D,
 ma H.U.S.T.L.E.R maustler
 Sitakuangusha mama, Sitakuangusha baba
 Uniache niimbe, Unieche niimbe X2
 Uniache niteremke mama, teremke mama, teremke mama, eh
 Uniache niimbe, Unieche niimbe X2
 oh Sitakuangusha mama, Sitakuangusha baba
 Uniache niimbe, Unieche niimbe X2
 Uniache niteremke, teremke, nikicheza mziki ya baba yangu
 Uniache niimbe, Unieche X2

Audio Features

Song Details

Duration
14:38
Key
10
Tempo
121 BPM

Share

More Songs by james ginzburg'

Similar Songs