Tuachane

2 views

Lyrics

Intro
 Wasafi
 ♪
 Aiyo Lizer
 Aaaaah aaaah aaaaah aaaah
 Aaaaah aaaah aaaaah aaaah
 ♪
 Wasafi Records
 Aaaaah aaaah aaaaah aaaah
 Kama imeshindikana kunirudia isiwe taabu
 Usiuforce moyo kupenda usipostahili
 Ya nini kung'ang'ania nishachoka kuwekwa sub
 Siwezi ooh na mapenzi nishaghaili
 Tena niko tayari vipigwe
 Vinumbi kengere kwa sherehe
 Kinaghaubagha mbele ya umati tuachane
 Na kama hautojali tuite
 Waumini mapadre na masheikh
 Yaishe labda sa kwa nini tutesane
 Kweli we ndo nikupendae
 Ila unanipa ghadhabu jina
 Tusitoane nyongo
 Na kama umenichoka eh
 Niache kistarabu jina
 Usinipe chongo miee Bridge
 Mwili umebaki kongoro nyama sina ni mifupa
 Naiona domboro kabisa siwezi furukuta
 Penzi kiporo limeshachina linanuka
 Kuishi kokoro purukushani kutwa kucha iyeeh Chorus
 Bora tuachane bora tuachane siwezi
 Bora tuachane yamenishinda mapenzi
 Mi naona bora tuachane eeh tuachane siwezi
 Bora tuachane yamenishinda mapenzi Chorus
 ♪
 Ni dhahiri kisima kimekauka maji
 Ndo maana naona ata sina maana tena
 Nilifikiri mi gonjwa langu limepata mponyaji
 Umeniongezea homa mwili wote watetema
 Mi naona basi labda si ridhiki yangu
 Kama hunitaki acha tu niende zangu
 Ya nini mishikaki ntatafuta boda yangu
 Nijinafasi niipande peke yangu Bridge
 Mwili umebaki kongoro nyama sina ni mifupa
 Naiona domboro kabisa siwezi furukuta
 Penzi kiporo limeshachina linanuka
 Kuishi kokoro purukushani kutwa kucha iyeeh Chorus
 Bora tuachane bora tuachane siwezi
 Bora tuachane yamenishinda mapenzi
 Mi naona bora tuachane eeh tuachane siwezi
 Bora tuachane yamenishinda mapenzi Wasafi
 

Audio Features

Song Details

Duration
04:09
Key
11
Tempo
107 BPM

Share

More Songs by Lava Lava

Albums by Lava Lava

Similar Songs