Nipe Mimi

2 views

Lyrics

Hujatulia honey nakwambia
 Kwanini nitulie wakati nakupenda?
 Mheshimiwa mi nimeshakueleza (come on ma, yeah come on)
 Maneno matamu umekwisha niambia
 Lakini hata moja bado hujatimiza
 Hujatulia honey nakwambia
 Kwanini nitulie wakati nakupenda?
 Ah, come on ma, come on ma (ah)
 Come on ma, (mmh)
 Unaguna nini?
 Nipe mimi kwani mi ndo mimi
 Tumetoka mbali kama nyuki na asali
 Nipe mimi, nipe mimi mpenzi (kwani mi ndio mimi)
 Nasikia utamu, nasikia utamu mpaka kwa moyo
 Niko fit alright, stimu zangu zishadanabia
 Kweli dear nakwambia
 Nipe mimi, nipe mimi kwani mi ndo mimi (ah wewe)
 Sasa, tena zima taa mama
 Mdadi ushanipanda mi kichaa (ngoja)
 Ngoja ngoja yaumiza tumbo
 Nipe niweke, ongeza makeke
 Nikishamaliza nicheke, uh
 Ah, unaisikia inavyokuingia, unafurahia, unachukia?
 Unafurahia, unachukia? (aka)
 Unafurahia, unachukia? Okay, okay
 Okay, okay, okay hakuna wasiwasi, cheza nami
 Dance with me, nipe mi kwani ndio mi
 Yeah, yeah, mi ndo mi
 Hujatulia honey nakwambia
 Kwanini nitulie wakati nakupenda?
 Mheshimiwa mi nimeshakueleza (come on ma, yeah come on)
 Maneno matamu umekwisha niambia
 Lakini hata moja bado hujatimiza
 Hujatulia honey nakwambia
 Kwanini nitulie wakati nakupenda?
 Usinipe maji dear kiu nikisikia
 Usinipe chakula njaa nikisikia
 Nipe mapenzi ya kweli nikuwaze kila saa
 Nasubutu kusema hivi we ndo wangu mama
 Nipe nafasi nikuweke moyoni, nikutunze kama mboni
 Nipe mimi, nipe mimi wajuba tuwakate vilimi (vilimi)
 Muda unaruhusu, hali ya hewa inaruhusu
 Njoo nikupige busu, japo kiduchu
 Umeumbwa kwa ajili yangu, walishaniambiaga wenzangu
 Kitabia tunaendana (tunaendana)
 Miondoko tunaendana (tunaendana)
 Sioni sababu ya mi na wewe kutokupendana
 Unadai niache mziki, sa si ntakufa na dhiki, usiwasikilize wanafiki
 Tukiaminiana tutaoana, we ndio mama mwenyewe
 Nakupenda we mwenyewe, punguza papara pupa, chochote nitakupa
 Huyu manzi ali-come nikamghasi akakubali
 Nikam-show leo lazima utingike
 Mpaka nikubambike, kiuno nikushike
 Tukawajibike
 Lete utamu, lete utamu mama, mama
 Lete utamu kwa kachaa
 Utawakwachu, wacha moto uwake
 Wacha moto uwake, midnight midnight mida mibaya
 TMK, TMK, wacha moto uwake
 Dunga, Dunga, wacha moto uwake
 TMK, TMK
 Hujatulia honey nakwambia
 Kwanini nitulie wakati nakupenda?
 Mheshimiwa mi nimeshakueleza (come on ma, yeah come on)
 Maneno matamu umekwisha niambia
 Lakini hata moja bado hujatimiza
 Hujatulia honey nakwambia
 Kwanini nitulie wakati nakupenda?
 Hujatulia honey nakwambia
 Kwanini nitulie wakati nakupenda?
 Mheshimiwa mi nimeshakueleza (come on ma, yeah come on)
 Maneno matamu umekwisha niambia
 Lakini hata moja bado hujatimiza
 Hujatulia honey nakwambia
 Kwanini nitulie wakati nakupenda?
 Baby, baby
 Oh baby, oh, oh, oh baby
 TMK, (kwanini nitulie wakati nakupenda?)
 Baby (kwanini nitulie wakati nakupenda?)
 Oh, oh, kueleza,Kwanini nitulie wakati nakupenda?
 Dear, baby, tema, oh baby
 TMK

Audio Features

Song Details

Duration
04:20
Key
8
Tempo
105 BPM

Share

More Songs by Mh. Temba

Albums by Mh. Temba

Similar Songs