Siri (feat. Nikk Wa Pili)

1 views

Lyrics

Nimeanza safari ya penzi na wewe
 Usikatishe
 Mungu mwema baba, mbali atufikishe
 Mimi binadamu nakosea nkiteleza usihuzunike
 Milele mwanadada
 Nikifa unizike
 Kutoka kwenye uvungu wa moyo wangu natamka ni wewe
 Taswira peke kwenye ndoto zangu mama
 Mfariji pekee nikiwa na chozi langu mama (ni wewe)
 Umenishinda siri kifuani mwangu
 Haa
 Nikupeleke nyumbani kwetu sheri eh
 Ukawajue na ndugu zangu mama
 Unipeleje nyumbani kwenu bibi wewe
 Nikawaone shemeji zangu mama
 Siri ya nini (siri)
 Nini maana yake (siri)
 Siri ya nini (siri)
 Nini hasara zake (siri)
 Siri oooh! Siri
 Mapenzi ya siri
 Oh, mama lolo
 Oh, mama lolo
 
 Oh, mama lolo
 Eh, mama
 Nipe utam kabla hujatamka usingizi
 Si come mpaka tukiamka ni seriez
 Kakongo twende kamara kibirizi
 Mapaja yake utamu michirizi
 Michepuko imenuna imezila siri sili
 Nawe ni kachumbari
 Mayonnaise pilipili
 Pilipili manga
 Tunakili kili wanga
 Kilimanjaro nyumbani kwetu
 Kisimiri Mwanga
 Simama niki-
 Simama wima
 Siri ni kilele nikufikishe kwa kina
 Si umebeba beba mkungu wa muleba
 Uchungu kama kwao wakajifungue labor
 Umebeba beba mkungu wa muleba
 Uchungu kama kwao wakajifungue labor
 Oh, Mama lolo
 Mama lolo, kwako sijiwezi
 Oh, mama lolo
 Sitoficha, mdudu wa mapenzi
 Oh, mama lolo
 Mama lolo, kwako sijiwezi
 Oh, mama lolo
 Mama lolo
 Kwenye moyo mi sina (siri)
 Je nikutaje kajina (siri)
 Najua wenye fitina (siri)
 Jembe nipo nalima (siri)
 Mmh
 Basi nawe usifiche ma (siri)
 Sema watupishe na (siri)
 Vichefu chefu watapishe ma (siri)
 Penzi letu lisiishe ma (siri)
 

Audio Features

Song Details

Duration
03:57
Tempo
92 BPM

Share

More Songs by Rayvanny

Albums by Rayvanny

Similar Songs