Yesu Nakupenda

1 views

Lyrics

Yesu nakupenda, bwana yesu wee nakupenda
 Yesu wee nakupenda, bwana yesu wee nakupenda
 Kama vile wewe ulivyo nipenda kwanza nakupenda
 Kisha tena ukautoa uhai wako nakupenda
 Kama vile wewe ulivyo nipenda kwanza nakupenda
 Kisha tena ukautoa uhai wako nakupenda
 Yesu uh-h-h-h-h-uh, Yesu
 Yesu wee nakupenda, bwana yesu wee nakupenda
 Yesu wee nakupenda, bwana yesu wee nakupenda
 Kama vile wewe ulivyo nipenda kwanza nakupenda
 Kisha tena ukautoa uhai wako nakupenda
 Kama vile wewe ulivyo nipenda kwanza nakupenda
 Kisha tena ukautoa uhai wako nakupenda
 Yesu uh-h-h-h-h-uh, Yesu
 ♪
 Msalabani dhambi zangu ulichukua
 Kufika kalivari Bwana ulizitua
 Nami nimewekwa huru ninakwimbia
 Msalabani dhambi zangu ulichukua
 Kufika kalivari Bwana ulizitua
 Nami niwekwa huru ninakwimbia
 Nikufananishe na nani mwokozi wangu? (Baba)
 Naona fahari mimi ninakuimbia (Baba)
 Nani asimame badala yako? (Baba)
 Hakuna mwingine ila Yesu pekee yako (Baba)
 Nikufananishe na nani mwokozi wangu? (Baba)
 Naona fahari mimi ninakuimbia (Baba)
 Nani asimame badala yako? (Baba)
 Hakuna mwingine ila Yesu pekee yako (Baba)
 Nafahamu Yesu anipenda mimi
 Yesu wee nakupenda, bwana yesu wee nakupenda
 Yesu wee nakupenda, bwana yesu wee nakupenda
 Kama vile wewe ulivyo nipenda kwanza nakupenda
 Kisha tena ukautoa uhai wako nakupenda
 Kama vile wewe ulivyo nipenda kwanza nakupenda
 Kisha tena ukautoa uhai wako nakupenda
 Yesu uh-h-h-h-h-uh, Yesu
 ♪
 Nilipokuwa kwa shetani niliugua
 Ndugu na jamaa zangu walinikimbia
 Lakini Yesu wa huruma ukanihurumia
 Nikufananishe na nani mwokozi wangu? (Baba)
 Naona fahari mimi ninakuimbia (Baba)
 Nani asimame badala yako? (Baba)
 Hakuna mwingine ila Yesu pekee yako (Baba)
 Nikufananishe na nani mwokozi wangu? (Baba)
 Naona fahari mimi ninakuimbia (Baba)
 Nani asimame badala yako? (Baba)
 Hakuna mwingine ila Yesu pekee yako (Baba)
 Ninajua Yesu wanipenda mimi
 Yesu wee nakupenda, bwana yesu wee nakupenda
 Yesu wee nakupenda, bwana yesu wee nakupenda
 Kama vile wewe ulivyo nipenda kwanza nakupenda,
 Kisha tena ukautoa uhai wako nakupenda
 Kama vile wewe ulivyo nipenda kwanza nakupenda
 Kisha tena ukautoa uhai wako nakupenda
 Yesu uh-h-h-h-h-uh, Yesu
 ♪
 Kwimake eh, kwimake weh
 Kwimake weeh, kwimake eh
 Kwimake mundewa Yesu (Alleluia kwimake Baba) oh kwimake eh
 Kunilapa kwe ruhoma baba (Alleluia kwimake Baba) oh kwimake weh
 Kwimake baba (Alleluia), kwimake baba (kwimake Baba)
 Kwimake baba (Alleluia) kwimake baba (kwimake Baba)
 Kwimake baba (Alleluia) ma ma ma ma (kwimake Baba)
 Kwimake mundewa baba (Alleluia) oh kwimake eh (kwimake Baba)
 Jaga kyala (Alleluia) jaga kyala (kwimake Baba)
 Jaga kyala baba (Alleluia) jaga kyala (kwimake Baba)
 Asante mwokozi wangu (Alleluia) uh asante eh (kwimake Baba)
 Asante mwokozi wangu (Alleluia) uh asante eh (kwimake Baba)
 Kwimake baba (Alleluia) ba ba ba ba (kwimake Baba)
 Kwimake ba ba ba (Alleluia) kwimake baba (kwimake Baba)
 Kwimake mundewa Yesu (Alleluia) oh kwimake eh (kwimake Baba)
 Kwimake mundewa Yesu (Alleluia) oh kwimake eh (kwimake Baba)
 

Audio Features

Song Details

Duration
06:58
Key
4
Tempo
105 BPM

Share

More Songs by Rose Muhando

Similar Songs