Thamani Ya Wokovu

3 views

Lyrics

Thamani ya wokovu wangu
 Anayejua ni mwokozi wangu
 Sikia
 Ngoja nikusimulie
 Habari ya kijana mmoja
 Kijana mtanashati
 Mpole kipenzi cha wengi
 Anazo sifa nyingi lakini
 Kuu kwake ni upendo
 Siku moja alikutana na mwanamke msamaria kisimani
 Kijana kamwomba maji
 Mwanamke naye kamuuliza
 Tangu lini wayahudi na wasamaria tukashikamana
 Kijana akamwambia
 Ungejua mimi ni maji yaliyo hai
 Ungekuja kwangu unywe maji
 Ili usiwe na kiu tena
 Mimi aliniona nilikokuwa nimechoka,nimechakaa
 Kijana kanipenda, kanichukua kanitengenezaaa
 Thamani ya Wokovu wangu
 Anayejua ni Mwokozi wangu
 Gharama ya maisha yangu
 Anayejua ni Muumba
 Nikisema nimeokokaa
 Mbona hamnielewiii
 Nikisema nimependwa mie
 Mbona mwanishangaaa
 Thamani ya Wokovu wangu
 Anayejua ni Mwokozi wangu
 Gharama ya maisha yangu
 Anayejua ni Muumba
 Nikisema nimeokokaa
 Mbona hamnielewiii
 Nikisema nimependwa mie
 Mbona mwanishangaaa
 Maisha ni hazina
 Iliyo mikononi mwa Mungu
 Hakuna ajuaye, salio la siku zake
 Ukiona ni mzima leo, hujui kesho itakuwaje
 Ndiyo maana nimeona nikukumbushe habari za Yesu
 Yeye akikupenda,wala hatoitoi kasoro
 Ukimupokea leo anabadili historia yako
 Atakuchukua hivyo ulivyo akufanye kiumbe kipya
 Hata kama unalia leo jua kesho utacheka
 Huyu Mwanaume Yesu ni wa ajabu wala hana mfano wake
 Upendo wake ulivyo mkuu kwetu akajiona heri ajitoe
 Aliacha enzi na utukufu mbinguni
 Akakubali mateso hata kifo cha aibu
 Akavuliwa nguo, ili mimi nipone
 Akatemewa mate ili mimi niwe huru eh Yeu Eh Yesu
 Thamani ya Wokovu wangu
 Anayejua ni Mwokozi wangu
 Gharama ya maisha yangu
 Anayejua ni Muumba
 Nikisema nimeokokaa
 Mbona hamnielewiii
 Nikisema nimependwa mie
 Mbona mwanishangaaa
 Thamani ya Wokovu wangu
 Anayejua ni Mwokozi wangu
 Gharama ya maisha yangu
 Anayejua ni Muumba
 Nikisema nimeokokaa
 Mbona hamnielewiii
 Nikisema nimependwa mie
 Mbona mwanishangaaa
 Thamani ya Wokovu wangu
 Anayejua ni Mwokozi wangu
 Gharama ya maisha yangu
 Anayejua ni Muumba
 Nikisema nimeokokaa
 Mbona hamnielewiii
 Nikisema nimependwa mie
 Mbona mwanishangaaa
 Thamani ya Wokovu wangu
 Anayejua ni Mwokozi wangu
 Gharama ya maisha yangu
 Anayejua ni Muumba
 Nikisema nimeokokaa
 Mbona hamnielewiii
 Nikisema nimependwa mie
 Mbona mwanishangaaa

Audio Features

Song Details

Duration
05:15
Tempo
88 BPM

Share

More Songs by Christina Shusho

Similar Songs