Natamani

4 views

Lyrics

Natamani
 Baba ah! ah! Kua nawe, natamani, natamani kua ah! Natamani Baba
 Baba ah! ah! natamani kuwa Nawe, kuishi Nawe kukaa na Wewe
 Yesu oh oh, Wewe wanitosha
 Bwana wangu nakutamani
 Baba natamani, Uwe wangu nami niwe Wako
 Chote kilicho changu, kiwe ni Chako pia
 Upendo wako kwangu Yesu ni kama moto
 Nimekukimbilia, nisiaibike milele eh Baba
 Baba ah! ah! natamani kuwa Nawe, kuishi Nawe kukaa na Wewe
 Yesu oh oh, Wewe wanitosha
 Bwana wangu nakutamani
 Eh Bwana nimeona upendo wako sio kwamba
 Moyo wangu wafurahia ndani ya wokovu wako
 Nitakuinua Umekuwa mwema kwangu
 Pokea sifa wewe Umekuwa mwema kwangu, Wewe mwema
 Baba ah! ah! natamani kuwa Nawe, kuishi Nawe kukaa na Wewe
 Yesu oh oh, Wewe wanitosha
 Bwana wangu nakutamani
 Nitakuita hadi moyo wangu uzimie
 Uniongoze kwenye mwamba uliojuu, zaidi yangu (Yahweh) ah ah ah
 Nitakuita (Yesu) Bwana wangu Unisikie
 Ombi langu, sifa zangu, kilio changu, eh Bwana
 Ninapoomba (Wanisikia eh! Oh!)
 Ninapoimba (Wanisikia eh! Oh!)
 Ninapolia (Wanisikia eh! Oh!)
 Napokuita eh Bwana, Wasema wanisikia
 Baba ah! ah! natamani kuwa Nawe, kuishi Nawe kukaa na Wewe
 Yesu oh oh, Wewe wanitosha
 Bwana wangu nakutamani
 Baba ah! ah! natamani kuwa Nawe, kuishi Nawe kukaa na Wewe
 Yesu oh oh, Wewe wanitosha
 Bwana wangu nakutamani
 

Audio Features

Song Details

Duration
04:22
Key
2
Tempo
92 BPM

Share

More Songs by Eunice Njeri

Similar Songs