Ex Wako Hawezi

3 views

Lyrics

Ukiacha kuni avoid
 Nitakupeleka Toi na Wadhi
 Nikushikie bale ya ma Camera
 Waithira, Ex wako hawezi
 Fanya ka
 Fanya ka mi
 Hawezi fanya
 Fanya ka
 Fanya ka mi
 Ex wako hawezi
 Kuja niku employ
 Nataka kukupa joy
 Vile inafaa
 Nina Nail and Spa
 Na sina Manager
 Tubonge salary
 Kisha dowry hii wikendi
 Sichezi
 Ex wako hawezi
 Fanya ka
 Fanya ka mi
 Hawezi fanya
 Fanya ka
 Fanya ka mi
 Ex wako hawezi
 Nitakushikia bundles
 (Bundles)
 Nitakulipia fuliza skiza
 Twapoteza masaa
 Fanya vile yafaa
 (Inafaa)
 (Inafaa)
 (Inafaa)
 (Inafaa)
 Nifanye baba wa kambo
 Watoto wako nitalea, swear
 Najua waniombea
 Fanya vile yafaa
 (Inafaa)
 (Inafaa)
 (Inafaa)
 (Inafaa)
 Fanya ka
 Fanya ka mi
 Hawezi fanya
 Fanya ka
 Fanya ka mi
 Ex wako hawezi
 Fanya ka
 Fanya ka mi
 Hawezi fanya
 Fanya ka
 Fanya ka mi
 Ex wako hawezi
 Lugha kama hii
 Swag kama hii
 Luku kama hii
 Nafanya ikae rahisi
 Nafanya ikae rahisi
 Nafanya ikae rahisi
 Kila time nilipiga
 Ulikua busy
 Ati mikutano kwa ofisi
 Ulijua nimekuchuzi
 Ukanichukua hivi hivi
 Time ikapita nikacheki CV
 Ni wengi umewashawishi
 Nilidhani tunakitu fiti
 Ukweli ukawasha swichi
 Nilisema nimepata bibi
 Sasa mama nitamwabia nini
 Ulisema wanipenda mimi
 Mbona tena kanitenda hivi
 Waithira, hii si ni unfair
 Ex wako anicheki mi saa hii
 Like nilikuambia
 Saa angalia
 Ma tick ziliturn blue
 Still not a peep from you
 I think na kreki
 Juu see lately
 I keep thinking of you
 Oh it's cold in my Benz
 Bila weh my mpenz
 Nilidai kuwa more than friends
 But haukua plans
 Za kuji commit as my boo
 Saa ticks zimeturn blue
 Je ni makosa
 Niki post stuff like
 I'm thinking of you
 

Audio Features

Song Details

Duration
03:48
Key
7
Tempo
120 BPM

Share

More Songs by Flier

Similar Songs