Happy Birthday

6 views

Lyrics

Kwanza nina furaha nitaimba na kucheza (na kucheza)
 Washa mishumaa weka keki juu ya meza (juu ya meza)
 Oh ila usinicheke nimekuletea zawadi kidogo nilichobarikiwa
 Aki mwana mpweke aje na dumu la maji asije kakumwagia
 Ah na kapicha kako nitakoposti wasiokupenda itawacosti
 ♪
 Ah leo siku yako nishajikoki tuko rafiki zako tunasema
 Happy birthday
 Happy birthday to you
 Happy birthday to you
 Happy birthday to you
 Happy birthday to you
 ♪
 Ah sinywagi pombe leo ntalewa niwape shonde waliochelewa
 Zikinipanda monde nitapepewa ah pembe la ng'ombe au malewa
 Ila usiforget kusema asante baba na mama walokukuza ukakua
 Tunakupa na keki kwa wema akulinde baba maulana twakuombea na dua
 Ah na kapicha kako nitakoposti wasiokupenda itawacosti
 Ah leo siku yako nishajikoki tuko rafiki zako tunasema
 Happy birthday
 Happy birthday to you
 Happy birthday to you
 Happy birthday to you
 Happy birthday to you
 ♪
 Kata keki kata (kata) oh kata (kata) kata (kata) kata unilishe
 Keki ya jina lako (kata) walishe na wenzako
 (Kata) tupo kwa ajili yako (kata) Kata unilishe
 Oh basi kata (kata) oh kata (kata)
 Kata nipone (kata) kata (kata unilishe)
 Kata, Kata, Kata, Kata unilishe
 Ah na kapicha kako nitakoposti
 

Audio Features

Song Details

Duration
03:29
Key
6
Tempo
126 BPM

Share

More Songs by Harmonize

Albums by Harmonize

Similar Songs