Damu Ya Salaam

8 views

Lyrics

tangu iraki mpaka amerika
 wako karibu yakufunga vita
 mi mama mzazi nauliza
 ni nani ata linda watoto wetu
 bwana hussein anasema:
 "nataka salaam"
 mi si aminiye neno ile
 damu yaliyo mwangiwa
 ni ya wadogo na watoto tu
 mimi huyu nakosa njiya
 yakusikika kwa wakubwa
 kwa hakika tulijioneya
 vita ya kwanza ilizala fitina
 bwana hussein anasema:
 "nataka salaam"
 mi si aminiye neno ile
 damu yaliyo mwangiwa
 ni ya wadogo na watoto tu
 nakata matumaini
 ju kwa vile naona
 wakubwa hawajali macozi ya
 mutu mudogo analiya wake
 siraha ya amani ilikuta kwake
 mr.clinton anasema:
 "nataka salaam"
 mi si aminiye neno ile
 damu yaliyo mwangiwa
 ni ya wadogo na watoto tu
 mr.clinton anasema:
 "nataka salaam"
 mi si aminiye neno ile
 damu yaliyo mwangiwa
 ni ya wadogo na watoto tu

Audio Features

Song Details

Duration
03:45
Key
11
Tempo
100 BPM

Share

More Songs by Khadja Nin

Albums by Khadja Nin

Similar Songs