Huniachi

3 views

Lyrics

Atcha ni musherekeye Bwana muaminifu
 Mungu wa miliungu asiye badilika
 Akihahidi jambo lita timiya
 Ata binadamu abadilike yeye ana baki muaminifu
 Bwana umehahidi mambo mengi tu mimi minakuamini
 Umeahidi Wewe Bwana huniachi
 Hadi mwisho wa dahari ulisema huniachi
 Wewe ni Mungu uliye mwaminifu siku zote
 Mimi ninaiweka imani yangu kwako Bwana (imba dada Gloria)
 Nipitapo maji mengi au moto huniachi
 Unalijua jina langu ewe bwana huniachi
 Unatengeneza njia hata mito kule jangwani
 Wewe ndiwe alpha na omega huniachi
 Umeahidi wewe Bwana huniachi
 Hadi mwisho wadahari ulisema huniachi
 Wewe ni Mungu uliye Mwaminifu siku zote
 Mimi ninaiweka imani yangu kwako Bwana
 Uliwalinda wa Israeli kule jangwani
 Ukamtoa Danieli kutoka tundu la simba
 Wewe huwainua na wanyonge siku zote
 Watuepusha na hatari kila siku usifiwe
 Umeahidi wewe Bwana huniachi
 Hadi mwisho was dahari ulisema huniachi
 Wewe ni Mungu uliye Mwaminifu siku zote
 Mimi naiweka imani yangu kwako Bwana
 Baba hata mama wanaweza kunikana
 Marafiki naona wanaweza nigeuka
 Mara kwa mara maadui wanizunguka
 Nitaishi kwa ahadi yako Bwana huniachi
 Huniachi
 Umeahidi wewe Bwana huniachi
 Hadi mwisho wa dahari ulisema huniachi
 Wewe ni Mungu uliye mwaminifu siku zote
 Mimi naiweka imani yangu kwako Bwana
 Umeahidi wewe Bwana huniachi
 Hadi mwisho wa dahari ulisema huniachi
 Wewe ni Mungu uliye mwaminifu siku zote
 Mimi naiweka imani yangu kwako baba
 

Audio Features

Song Details

Duration
05:02
Tempo
90 BPM

Share

More Songs by Reuben Kigame

Similar Songs