Tujiangalie

6 views

Lyrics

Barua toka Jaramogi na Kenyatta
 Wanauliza kama Kenya kuko sawa
 Nikawajibu Kenya tuko na disaster
 Watoto wetu wanazidi kuzikana
 Na Tom Mboya ameshika tama
 Alituacha kama angali kijana
 Je, angekuwa mambo yangekua sawa?
 Ndivyo alivyopanga Maulana
 Deni mlizowacha bado tunalipa (Tunalipa)
 Na tumekopa zingine china
 Tukajenga reli pia barabara
 Zilizobaki watu wakasanya
 So
 Tujiangalie (Tujiangalie)
 Tuko pabaya leo kuliko jana
 Sikio la kufa halisikii dawa
 Tuko kwa Twitter tuna jibizana
 Tujiangalie (Tujiangalie)
 Tuko pabaya leo kuliko jana
 Tusipo ziba ufa tuta jenga kuta
 Tusake zetu tungali vijana
 Waumini kwa mathree na passie kwa bimmer
 Kushoto fungu la kumi
 Sadaka kulia
 Ndio maana mbele ya kanisa mheshimiwa
 Anakula sacramenti
 Kabla ya raia
 Siku za mwisho zime shawadia
 Na revelation inatuambia
 Hii generation inachoma picha
 Ni generation yetu
 So
 Tujiangalie (Tujiangalie)
 Tuko pabaya leo kuliko jana
 Sikio la kufa halisikii dawa
 Tuko kwa Twitter tuna jibizana
 Tujiangalie (Tujiangalie)
 Tuko pabaya leo kuliko jana
 Tusipo ziba ufa tuta jenga kuta
 Tusake zetu tungali vijana
 Michuki alisema tufungeni mikanda
 Ona leo twavuna tulicho panda
 Kura zetu zilitugawanya
 Makabila na pesa pia tulimanga
 So when you make your bed oh
 (You lie on it ohh)
 Usingizi gani tumelala?
 Tuta jua hatu jui
 Vision 2030 itabaki ni story
 Tujiangalie (Tujiangalie)
 Tuko pabaya leo kuliko jana
 Sikio la kufa halisikii dawa
 Tuko kwa Twitter tuna jibizana
 Tujiangalie (Tujiangalie)
 Tuko pabaya leo kuliko jana
 Tusipo ziba ufa tuta jenga kuta
 Tusake zetu tungali vijana
 Mdosi aliniambia
 Freedom never comes for free
 We vote tribe, ama real cash, ask Boni
 Tuna roho mahali hamwezi
 Ita GSU plus doggy
 World mzima Twitter
 KOT ndio first body
 Burn picha si ni Waafrika
 Black coffee (Annan)
 I'm richer than my neighbor but we both in the slum
 If the rich always win then
 Why should the popular run
 Unless democracy ni word si usema
 Only for fun
 Tujiangalie (Tujiangalie)
 Uh, na hii weekend tuko church
 Tunauza sura kabisa
 Post ya haga
 Huenda poa sana na
 Caption ya scripture
 Kaa hiyo gospel
 Pitisha bag ya sadaka kwa club
 Tujiangalie (Tujiangalie)
 Uh, traffic madrug ubuy ndai
 Traffic mandai zinadrag
 Ku admire mwizi amemake it
 Story za shamba wamegrab
 Mkono nahonga imevaa
 Bracelet ya colors za flag
 Yeah
 

Audio Features

Song Details

Duration
03:41
Key
5
Tempo
82 BPM

Share

More Songs by Sauti Sol

Albums by Sauti Sol

Similar Songs