Usifurahi Juu Yangu

3 views

Lyrics

Usifurahi juu yangu eh adui yangu
 Niangukapo mimi nitasimama tena
 Kumbuka niwapo gizani bwana ni nuru yangu
 Hawezi kuniacha bwana mimi niangamie
 Usifurahi juu yangu eh adui yangu
 Niangukapo mimi nitasimama tena
 Kumbuka niwapo gizani bwana ni nuru yangu
 Hawezi kuniacha bwana mimi niangamie
 ♪
 Si vyema kunisema vibaya nipatapo tatizo
 Shetani wampa nafasi katika moyo wako
 Kumbuka kwa maombi yako, nitasimama tena
 Na utapata baraka kutoka kwake Mungu
 Si vyema kunisemasema vibaya nipatapo tatizo baba
 Shetani wampa nafasi ndani moyo wako
 Kumbuka kwa maombi yako, nitasimama tena
 Na utapata baraka kutoka kwake mungu
 ♪
 Maana heri mtu yule ambaye kinywa chake
 Huwabariki wenzake na kuwaombea
 Maana maneno mabaya huchafua moyo
 Ukuwe kama nina Mungu, ni vyema uwe safi
 Ukiona nipo kwenye shida niombee
 Ndoa yangu imevunjika wewe niombee
 Nikifukuzwa kazini ndugu niombee
 Magonjwa yananiandama niombee
 Biashara haina faida niombee
 Nikikawia kupata mtoto niombee
 Nimekuwa mtoto yatima niombee
 Hata nijapokuwa mjane niombee
 Ujue kwa maombi yako mimi nitasimama tena
 Ujue kwa maombi yako nitabarikiwa
 Ujue kwa maombi yako mimi nitasimama tena
 Ujue kwa maombi yako nitabarikiwa
 ♪
 Ujue kwa maombi yako mimi nitasimama tena
 Ujue kwa maombi yako nitabarikiwa
 Ujue kwa maombi yako mimi nitasimama tena
 Ujue kwa maombi yako nitabarikiwa
 

Audio Features

Song Details

Duration
05:58
Key
2
Tempo
76 BPM

Share

More Songs by UPENDO NKONE

Similar Songs