Salama

3 views

Lyrics

Heieee aaah
 Haaaaooo
 Mmmmmm
 Nionapo amani kama shwari ama nionapo shida
 ♪
 Kwa mambo yote umenijulisha ni salama rohoni mwangu
 Nionapo amani kama shwari ama nionapo shida
 Kwa mambo yote umenijulisha ni salama rohoni mwangu
 Salama rohoni
 Ni salama rohoni mwangu
 
 Salama rohoni
 Ni sakama rohoni mwangu
 Ingawa shetani alinitesa nalijipa moyo kwani
 ♪
 Kristo uliuona unyonge wangu ulikufa kwa roho yangu
 Dhambi zangu zote wala si nusu ziliwekwa msalabani
 Wala sichukui laana yake ni salama rohon mwangu
 Salama rohoni
 Ni salama rohoni mwangu
 Salama rohoni
 Ni salama rohoni mwangu
 Salama rohoni
 Ni salama rohoni mwangu
 Salama rohoniiiiii
 ♪
 Ee Bwana imiza siku ya kuja panda itakapolia
 Pale utaposhuka wala sitaogopa Ni salama rohoni mwangu
 Salama rohoni
 Ni salama rohoni mwangu
 Salama rohoni
 Ni salama rohoni mwangu
 Kwako salama(salama rohoni)
 Kwako salama Yesu(ni salama rohoni mwangu)
 Salama rohoni
 Ni salama rohoni mwangu
 Salama rohoni
 Ni salama rohoni mwangu...
 

Audio Features

Song Details

Duration
04:53
Tempo
80 BPM

Share

More Songs by Angel Benard

Similar Songs