Embargo

7 views

Lyrics

leo nasaili
 ju mimi sikuelewa mambo yale
 unasema embargo
 ni njiya ya kuleta amani kwangu
 kwa vile naona
 ni watu wanahangayika bure
 unisamehe sana
 ju mimi sione uzuri wake
 bwana mukubwa
 uje inazimiya
 watu wanakufa na njala
 wanatesera
 inci inazimiya
 inakosa dawa na cakula
 ni amani gani
 inaleta njala na maladi
 bwana mukubwa
 uje inazimiya
 watu wanakufa na njala
 wanatesera

Audio Features

Song Details

Duration
04:25
Key
5
Tempo
88 BPM

Share

More Songs by Khadja Nin

Albums by Khadja Nin

Similar Songs